kwanini nadia

Lugha ya kiswahili ni kama bahari,kuna nyakati inakua na mawimbi makubwa ,kuna wakati inakua shwari, na pia kuna wakati upepo hubadili uelekeo na kukupa wakati mgumu kuitumia

nadia

ni nahodha mzuri ambaye ni msaidizi wako wa karibu na muongozo mzuri katika kujifunza maneno,kuitumia na kuwasiliana kwa lugha ya Kiswahili

nadia

ni mfumo unaokuwezesha kuperuzi maneno mbalimbali ya kiswahili na kukutaarifu kuhusu maana zake,namna ya kuyatumia kwa usahihi
me
Wisdom Kyando.,MD
Patroni wa NADIA
"Ninatamani Kiswahili kiwe katika kila teknolojia na kila sehemu ya mtandao wa intaneti..."